
Katika dunia ni lazima tuishi kupendana ili tuwe na umoja kupunguza ubaguzi. Moja tunaitaji kuelimisha watoto kuhusu MTU mweusi na sio kumjengea kumnyanyasa na kumbagua unavyo mjenga mtoto katika misingi mizuri ili tuepushe machafuko ya ubaguzi

Katika dunia ni lazima tuishi kupendana ili tuwe na umoja kupunguza ubaguzi. Moja tunaitaji kuelimisha watoto kuhusu MTU mweusi na sio kumjengea kumnyanyasa na kumbagua unavyo mjenga mtoto katika misingi mizuri ili tuepushe machafuko ya ubaguzi
Thanks for joining me!
Good company in a journey makes the way seem shorter. — Izaak Walton
